Wageni wilayani Muheza
Mkoani Tanga wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya
Muheza, Mhandisi Hajat Mwanasha Tumbo
Wageni wilayani Muheza
Mkoani Tanga wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya
Muheza, Mhandisi Hajat Mwanasha Tumbo
Mkuu wa wilaya ya Muheza, Hajat
Mhandisi Mwanasha Tumbo kulia akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga
(RAS) Mhandisi Zena Saidi katikati anayefuatia ni Katibu Tawala wa
wilaya ya Muheza (DAS) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya
Muheza, Luiza Mlelwa wakipata futari iliyoandaliwa na mkuu huyo wa wilaya
nyumbani kwake.
Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani
Tanga Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo kulia kushoto ni Katibu Tawala wa
Mkoa wa Tanga Mhandisi Zena Saidi wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu
huyo wa wilaya.Mkuu
wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga, Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo
akizungumza na waandishi wa habari ambapo alitoa shukrani kwa kuitikia
mwitikio wa futari hiyo.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...