Mkuu wa Kitengo cha Elimu wa Taasisi ya Doris Mollel, Erick Kajahurwa akiwa katika maandalizi ya kugawa vikapu vya vyakula mbali mbali kwa wananchi wa Kijiji cha Hoyoyo, Mkuranga Mkoani Pwani, ikiwa ni sadaka inayotolewa na Taasisi hiyo kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kupitia kampeni yake ya KAPU LA RAMADHAN.
 Mratibu wa Matukio ya Kijamii wa Taasisi ya Doris Mollel, Alice Mwakatika (kushoto) akikabidhi sehemu ya vyakula kwa familia ya Mzee Seif Maruyo ambao ni wakazi wa Kijiji cha Hoyoyo, Mkuranga Mkoani Pwani, ikiwa ni sadaka inayotolewa na Taasisi hiyo kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kupitia kampeni yake ya KAPU LA RAMADHAN.
 Mratibu wa Matukio ya Kijamii wa Taasisi ya Doris Mollel, Alice Mwakatika (wa pili kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Elimu wa Taasisi hiyo, Erick Kajahurwa (kushoto) wakimsikiliza Bw. Shamte Ndikayi ambaye ni mlemavu wa macho, walipomtembelea nyumbani kwake Kijijini Hoyoyo, Mkuranga Mkoani Pwani, baada ya kukabidhi vyakula mbalimbali ikiwa ni sadaka inayotolewa na Taasisi hiyo kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kupitia kampeni yake ya KAPU LA RAMADHAN.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...