Wateja wa benki ya Exim waliopo Mtwara wakipata futari iliyoandaliwa na benki hiyo katika hoteli ya Tiffany Hotel jana.
Wateja wa benki ya Exim waliopo Mtwara wakipata futari iliyoandaliwa na benki hiyo katika hoteli ya Tiffany Hotel jana.
Wateja wa benki ya Exim waliopo Zanzibar wakipata futari
iliyoandaliwa na benki hiyo katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort juzi.
3A2ZSWSAQMeneja mwandamizi wa Exim Bank tawi la Zanzibar, Fred Umiro
akizungumza na wateja wa benki hiyo baada ya futari maalum iliyoandaliwa
na Exim Bank kwa wateja wao wa Zanzibar iliyofanyika katika hotel ya
Zanzibar Beach Resort .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...