Klabu ya MAJIMAJI inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi agust 5 mwaka huu ,ambao watakuwa na lengo la kuiongoza klabu hiyo na kuiletea maendeleo mkoa wa ruvuma kwa ujumla.
Uchaguzi huo unafanyika baada ya viongozi wa awali kufikia kikomo wa kuiongoza klabu ya majimaji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...