Kisomo wakati wa hafla ya futari ya Kariakoo Family Development Foundation iliyofanyika jana mtaa wa Tandamti na Livingstone na kuhudhiriwa na wanachama, masheikh wa Kariakoo, viongozi wa Saigon Sports Club, wajumbe kutoka Gogo vivu pamoja na watoto wanaolelewa kwenye vituo viwili vya Yatima vya Madina cha Tandale na cha Maalim Bonge kilichopo Jangwani.
 Misaada ilitolewa kwawatoto wanaolelewa kwenye vituo viwili vya Yatima vya Madina cha Tandale na cha Maalim Bonge kilichopo Jangwani
 Picha ya pamoja ya wanachama wa KFDF na watoto wanaolelewa kwenye vituo viwili vya Yatima vya Madina cha Tandale na cha Maalim Bonge kilichopo Jangwani
 Picha ya pamoja ya badhi ya wanachama wa KFDF
  Misaada ilitolewa kwawatoto wanaolelewa kwenye vituo viwili vya Yatima vya Madina cha Tandale na cha Maalim Bonge kilichopo Jangwani. Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...