Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya Kamati ya pili ya
Uchunguzi wa Madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga unaosafirishwa nje ya
nchi kutoka kwenye machimbo ya madini sehemu mbalimbali hapa nchini kutoka kwa
Mwenyekiti wa Kamati hiyo Profesa Nehemiah Osoro Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha Ripoti hiyo ya Kamati ya pili ya
Uchunguzi wa Madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga unaosafirishwa nje ya
nchi kutoka kwenye machimbo ya madini sehemu mbalimbali hapa nchini mara baada
ya kukabidhiwa Ikulu jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Makamu wa Rais Samia
Suluhu Hassan na kulia ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakishuhudia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kukabidhiwa Ripoti
hiyo ya Kamati ya Pili ya Uchunguzi wa Madini Ikulu jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...