Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na wananchi wa kijiji cha Mangwi, kata ya mchukwi
wilayani kibiti jana alipokwenda kuwapa pole baada ya kutokea mauaji ya
mwenyekiti wa kitongoji na afisa mtendaji wa kijiji. Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la polisi.
Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na wananchi wa kijiji cha mangwi, kata ya mchukwi
wilayani kibiti jana alipokwenda kuwapa pole baada ya kutokea mauaji ya
mwenyekiti wa kitongoji na afisa mtendaji wa kijiji hicho. IGP Sirro alitumia
fursa hiyo kuwataka wananchi kijijini hapo kutowafumbia macho wahalifu
wanaotenda mauaji hayo na kuwataka kuwa na kushirikiana na jeshi la polisi kwa
kutoa taarifa za wahalifu hao. picha na
hassan mndeme-jeshi la polisi.
Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Simon
Sirro akitoa rambirambi ya msiba kwa wananchi wa kijiji cha mangwi, kata ya mchukwi
wilayani kibiti jana alipokwenda kuwapa pole baada ya kutokea mauaji ya Mwenyekiti wa kitongoji na Afisa Mtendaji wa kijiji hicho. picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP
Simon Sirro akikagua nyumba iliyochomwa moto na wahalifu waliofanya mauaji ya
mwenyekiti wa kitongoji na afisa mtendaji wa kijiji cha mangwi, kata ya mchukwi
wilayani kibiti jana alipokwenda kuwapa pole baada ya kutokea mauaji hayo. picha na hassan mndeme-jeshi la polisi.
Poleni sana Kibiti
ReplyDeleteHawa majangili uchwara inaonyesha si wakazi wa Kibiti au Pwani otherwise wasingetaka wapelekwe wanapoishi viongozi. Pili IGP kwa nini usiwatume vijana wako wakajifanye viongozi wa serikali ili muwakamate hawa majuha? as u can c tageti yao ni viongozi..... mwaga askari kanzu wakagombee uongozi. vitu vidogo kama hivi vikifanyiwa mzaha huwa vikubwa