Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto akizungumza na Vijana wa JUVICUF Tawi la chuo kikuu cha Dar es Salaam katika mkutano wao uliofanyika katika hoteli ya Vinna Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama cha Wananchi CUF , julius Mtatiro akizungumza na Vijana wa JUVCUF Tawi la Chuo Kikuu juu ya umuhimu wa kujenga chama
Mbunge Viti Maalum CUF ,Sevelina Mwijage akizungumza na Vijana wa JUVCUF tawi la Mlimani mara baada ya kuchangia shilingi laki tano za ujenzi wa ofisi
Vijana wa JUVCUF Tawi la Mlimani wakishangilia mara baada ya kuwasikiliza viongozi wa chama hicho katika mkutano wa mkuu uliofanyika katika ukumbi wa Vinna Hotel
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...