Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto akizungumza na Vijana wa JUVICUF Tawi la chuo kikuu cha Dar es Salaam katika mkutano wao uliofanyika katika hoteli ya Vinna Jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama cha Wananchi CUF , julius Mtatiro akizungumza na Vijana wa JUVCUF Tawi la Chuo Kikuu juu ya umuhimu wa kujenga chama
 Mbunge Viti Maalum CUF ,Sevelina Mwijage akizungumza na Vijana wa JUVCUF tawi la Mlimani mara baada ya kuchangia shilingi laki tano za ujenzi wa ofisi
Vijana wa JUVCUF Tawi la Mlimani wakishangilia mara baada ya kuwasikiliza viongozi wa chama hicho katika mkutano wa mkuu uliofanyika katika ukumbi wa Vinna Hotel

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...