Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es salaam  Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Awadhi Haji  (gwanda la kijani) amendelea kutoa  elimu kwa madereva wa bodaboda pamoja na abiria ambao wamevunja sheria za makosa ya usalama barabarani ikiwemo kutokuvaa kofia ngumu,bkupita taa nyekundu,bkupakia abiria zaidi ya mmoja na kadhalika. Watuhumiwa wamekamatwa sehemu mbalimbali wilayani Temeke katika msako mkali unaoendelea katika mkoa wa Dar es salaam.
 Watuhumiwa waliokamatwa sehemu mbalimbali wilayani Temeke katika msako mkali unaoendelea katika mkoa wa Dar es salaam wakimsikiliza Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es salaam  Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Awadhi Haji 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...