Aunty Rehema (kati) akiwa katika picha ya pamoja na Mr and Mrs Gao siku ya Jumamosi June 10, 2017 Silver Spring, Maryland nchini Marekani siku akina dada DMV wakitaribiwa na TAMCO walipomfanyia dua.
Aunty Rehema akijipakulia futari siku ya Jumamosi June 10, 2017 Silver Spring, Maryland nchini Marekani siku akina dada DMV wakitaribishwa na TAMCO walipomanyia dua la kumwombea.
Wakina dada wa DMV waandaaji huku wakiwa wameratibiwa na TAMCO wakiwa katika picha ya pamoja na Aunty Rehema.
Kushoto ni Ustadh Gadafi pamoja na Miki wakiongoza dua la kumwombea Aunty Rehema. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...