Mkuu wa kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi wa LAPF Bw. Emmanuel Mayage akichangia hoja katika moja ya mijadala inayoendelea kwenye  Kongamano la Manunuzi la Mwaka, 2017 linaloendeshwa na PPRA mjini Arusha kuanzia Jumatatu hadi Jumamosi wiki hii.
 Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Dkt. Laurent Shirima akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PPRA Balozi Dkt. Matern Lumbanga akitoa hotuba ya ufunguzi wa Kongamano hilo.

Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada zilizokuwa zinawasilishwa kwenye Kongamano hilo.
Picha ya pamoja ya  washiriki wa Kongamano hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...