Na Freddy Macha
Mshindi wa picha bora duniani ya wenye hali ya Mtindio wa Ubongo (Down Syndrome) , Samwel Mwanyika alikuwa London mwezi Juni 2017 kupokea tuzo ya "Stephen Thomas Award". 
Baada ya sherehe kijana alikaribishwa na kutunukwa pia na Balozi wetu Dk Asha Rose Migiro. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani , akiwa mitaani, alipiga piano, St Pancras, Kings Cross,... na hapo tukazungumza naye na Mama yake. Hebu sikiliza uone kazi waliyo nayo wazazi kupambana kuendeleza maisha ya watu wenye hali hii, Afrika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...