Katibu mkuu wa Chama cha Wananchi CUF ,Maalim Seif Sharif Hamad akiwasili katika eneo la Vingunguti
Katibu mkuu wa Chama cha Wananchi CUF ,Maalim Seif Sharif Hamad akiwa ameketi kwenye kiti wakati alipojumuika kwenye futari na wakazi wa Vingunguti
katibu mkuu maalim Seif Sharif Hamad akiwa amejumuika na wakazi wa vingunguti katika futari katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani .
katibu mkuu maalim Seif Sharif Hamad alijumuika na wakazi wa vingunguti katik futari na wakazi wa vingunguti
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...