Wanachama wa majimaji wameandamana hadi ofisi ya mkuu wa mkoa wa ruvuma dkt bilinithi mahenge kwa lengo la kushinikiza uchaguzi katika klabu hiyo ambapo inadawai baadhi ya viongozi wameanda mchakato wa kubadilisha katiba ili viongozi walio salia waendelee kaubaki madarakani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...