Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiongoza kikao cha 44 cha Mkutano
wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 08, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
–(TAMISEMI) Mhe.George Simbachawene akijibu maswali mbalimbali ya
wabunge katika kikao cha 44 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini
Dodoma Juni 8, 2017.
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa
akifurahia jambo na Mbunge wa Ndanda (CHADEMA) Mhe.Cecil Mwambe katika
kikao cha 44 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 8,
2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...