Katibu Tawala Wilaya ya Ruangwa (DAS), Twaha Mpembenwe (katikati) akimkabidhi kadi ya Bajaji Rashidi Makolelo (mlemavu wa miguu) Mkazi wa mpume kata ya Nkowe wilayani Ruangwa kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la Ruangwa na Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa aliyoahidi kumpatia siku kadhaa zilizopita.
Rashidi Makolelo (mlemavu wa miguu) Mkazi wa mpume kata ya Nkowe wilayani Ruangwa akiwa ndani ya Bajaj hiyo, baada ya kukabidhiwa.
Rashidi Makolelo (mlemavu wa miguu) Mkazi wa mpume kata ya Nkowe wilayani Ruangwa akisikiliza maelekezo kabla ya kukabidhiwa Bajaji aliyosaidiwa na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa na Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa aliyoahidiwa na sasa kutimia kwa ahadi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...