Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya tuzo ya Benki kinara wa ubunifu Afrika Mashariki “East African Most Innovative Bank of the year” ambayo Benki hiyo imepewa na jarida la utafiti wa biashara la The Business Year hivi, Katika mkutano uliofanyika Makao Makuu ya Benki hiyo, Azikiwe Jijini Dar es salaam Juni 29, 2017.
Baadhi ya Tuzo walizopata Benki ya CRDB.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...