Mkurugenzi wa Jembe Media Group Dr. Sebastian Ndege (kushoto) akiwa na mgeni Rasmi Katibu Mkuu wa Chama cha Soka mkoa wa Mwanza, Leonard Malongo (katikati) kwa pamoja wakikabidhi zawadi ya seti moja ya jezi kwa team captain wa Mkolani Veterani Fc mara baada ya kuibuka kuwa Mabingwa wa 'JEMBE FM SPORTS RIPOTI BONANZA 2017, katika uwanja wa Nyamagana. Chini ya udhamini wa Nebrix Limited wauzaji wa vifaa vya michezo na Lake Zone Tents Supply.
Si mchezo 'Miaka miwili ya changamoto hatimaye sasa nuru imeonekana'
Risala ya maadhimisho ilisomwa na Elikana Mathias.
Safu ya Meza kuu.
Mbele ya eneo la kivuli tulilolichagua kuwa jukwaa kuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...