Katika kuelekea kusherehekea sikukuu ya eid El Fitri, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imetoa zawadi ya vyakula mbali mbali na vifaa vya elimu vyenye thamani ya takriban shilingi milion kumi na nne kwa vituo vinavyotunza na kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu. Pichani Naibu Mhifadhi wa Ngorongoro Dr. Maurus Msuha akikabidhi zawadi hizo kwa vituo vya Shalom orphanage centre, Mwema Street Children na Imani Focus Foundation vilivyomo pembezoni mwa Hifadhi ya Ngorongoro katika Wilaya ya Karatu.
Home
Unlabelled
Mkono wa Iddi kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...