Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Profesa Abdukarim Mruma (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Mkemia Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Profesa Samwel Manyele wa pili kushoto aliyeambatana na timu yake kutoka ofisi ya Mkemia Mkuu, alipotembelewa ofisini kwake kwa lengo la kubadilishana mawazo ya utendaji kazi. Picha na Samwel Mtuwa - Dodoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...