Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST),  Profesa Abdukarim Mruma (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Mkemia Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Profesa Samwel Manyele wa pili kushoto aliyeambatana na timu yake kutoka ofisi ya Mkemia Mkuu, alipotembelewa ofisini kwake kwa lengo la kubadilishana mawazo ya utendaji kazi. Picha na Samwel Mtuwa - Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...