Mgeni Rasmi ambaye pia
ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt.Abdulla Juma Saadala, akimkabidhi
kombe Nahodha wa timu ya Kundemba FC,Mohamed Haji Shaibu, baada ya kuibuka
mshindi katika mashindano ya Masauni -
Jazeera Cup.Katikati ni Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, Mhandisi Hamad Masauni.Mchezo
huo ulimalizika kwa mikwaju ya penati 8-7 iliyopelekea timu ya Kundemba FC kuibuka bingwa dhidi ya Kilimani Maghorofani.Mchezo
huo ulifanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Visiwani Zanzibar. Picha
na Abubakari Akida
Mgeni Rasmi ambaye pia
ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdulla Juma Saadala, akimkabidhi
zawadi ya viatu mchezaji bora wa
mashindano ya Masauni - Jazeerah Cup,Shabani Makuka.Kushoto ni Mwakilishi wa
Jimbo la Kikwajuni, Nassor Saleh Jazeera na watatu ni Mbunge wa jimbo
hilo,Mhandisi Hamad Masauni.Mchezo huo ulimalizika kwa mikwaju ya penati 8-7
iliyopelekea timu ya Kundemba FC kuibuka
mshindi dhidi ya Kilimani Maghorofani,
mchezo huo ulifanyika katika viwanja vya Mnazi Mmmoja,Visiwani Zanzibar.Picha
na Abubakari Akida
Mwamuzi Bora wa Mashindano
ya Masauni - Jazeera Cup, Ramadhani Khamis Kombo akipokea zawadi kutoka kwa
Mgeni Rasmi ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt.Abdulla Juma
Saadala,b aada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali kati ya timu ya Kundemba FC
na Kilimani Maghorofani.Mchezo huo ulifanyika katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja,Visiwani Zanzibar.Picha na Abubakari Akida
Nahodha wa timu ya
Kundemba FC, Mohamed Haji Shaibu, akipokea zawadi ya mshindi wa kwanza wa mashindano ya Masauni-Jazeera Cup kutoka kwa Mgeni Rasmi ambaye pia ni Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar , Dkt.Abdulla Juma Saadala.Kushoto ni Mwakilishi wa Jimbo
la Kikwajuni, Nassor Saleh Jazeera na watatu ni Mbunge wa jimbo hilo, Mhandisi
Hamad Masauni .Picha na Abubakari Akida
Nahodha wa timu ya
Kundemba FC, Mohamed Haji Shaibu, akipokea zawadi ya mshindi wa kwanza wa mashindano ya Masauni-Jazeera Cup kutoka kwa Mgeni Rasmi ambaye pia ni Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar , Dkt.Abdulla Juma Saadala.Kushoto ni Mwakilishi wa Jimbo
la Kikwajuni, Nassor Saleh Jazeera na watatu ni Mbunge wa jimbo hilo, Mhandisi
Hamad Masauni .Picha na Abubakari Akida
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...