Zaidi ya askari 200 wa jeshi la zimamoto asubuhi hii wako katika vita ya kuzima moto mkubwa uliorindima usiku kucha katika jengo la ghorofa 27 Magharibi ya jiji la London, Uingereza, huku mashuhuda wakidai kwamba kuna watu wamenasa kwenye jengo hilo liendalo kwa jina la Grenfell Tower.
Watu wa huduma ya kwanza wanasema watu 30 wamekimbizwa hospitali kupata matibabu, na habari zainadai kwamba huenda jengo hilo likaporomoka wakati wowote.
Watu wa huduma ya kwanza wanasema watu 30 wamekimbizwa hospitali kupata matibabu, na habari zainadai kwamba huenda jengo hilo likaporomoka wakati wowote.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...