Afisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Amani Marcel (kuli) akimueleza jambo mmoja wa wateja kuhusu kituo cha Huduma kwa Wateja katika Banda lao kwenye maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa Dar es salaam (Sabasaba) yaliyoanza rasmi jana  Juni 28, 2017 katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam. Kushoto ni Kaimu Meneja Kiongozi wa Masoko na Uhusian wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Salim Kimaro.
Askari Polisi akipata huduma ya Upimaji afya Bure inayotolewa na NSSF Katika maonyesho ya Sabasaba yaliyoanza jana 
Afisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Aisha Sango akimsikiliza Mteja katika maonyesho ya Sabasaba yanayondelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Barabara ya Kilwa
Maafisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Nora Mwidunda na Grace Japhet wakizungumza na wageni wakati wa Manyesho ya Sabasaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...