Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) alijumuika na Waislamu,Viongozi mbali mbali na Wananchi
katika kumswalia Marehemu Mzee Prof.Ishau Abdalla Khamis katika
Msikiti wa Ijumaa Donge leo,Marehemu aliwahi kushika nyazifa mbali mbali
katika Serikalia ya Mapinduzi Zanzibar na Chama cha Mapinduzi.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) akifuatana na Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja,(wa pili
mkushoto) pamoja na Viongozi wengine wakielekea katika kaburi wakati wa
mazishi ya Marehemu Mzee Prof.Ishau Abdalla Khamis yaliyofanyika leo kijiji cha Donge,Wilaya ya Kaskazini BUnguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (wa pili kushoto waliosimama) alijumuika na Waislamu,Viongozi
mbali mbali na Wananchi katika mazishi ya Marehemu Mzee Prof.Ishau Abdalla Khamis katika kijiji cha Donge leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitia udongo katika kaburi la Marehemu Mzee Prof.Ishau Abdalla Khamis aliyezikwa leo katika kijiji cha Donge,Willaya ya Kaskazini B Unguja,[Picha na Ikulu.]07/06/2017
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...