Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimlaki
Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo aliyemtembelea Ikulu
jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika
mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo
aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
akimsindikiza Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo baada ya
kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017
PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...