Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi (waliosimama katikati) akiwa na wageni waalikwa na baadhi ya vijana walioibuka washindi kwenye fainali ya mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Quran Tukufu kutoka Tanzania Bara na Visiwani yaliyofanyika ndani ya viwanja vya Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam jana, chini ya uratibu wa Taasisi ya Al-Manahilul Irfan Islamic Centre. Wa pili kulia waliosimama ni Makamu wa Rais mstaafu Dk Gharib Bilal

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...