Mkuu
wa Mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mghwira akisaini kitabu cha Wageni na baadaye kutoa pole kwa familia ya Marehemu
Philemon Ndesamburo nyumbani kwake Kiboroloni, Moshi Mjini .
Mkuu
wa Mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mghwira ameshawasili mkoani kwake tayari
kwa kuanza kazi rasmi,ambapo leo ameanza majukumu yake kwa kukutana na
kamati ya siasa ya Mkoa huo.
RC Mghwira akisaini kitabu cha Wageni kabla ya kuanza kuzungumza na kamati ya siasa ya mkoa wa Kilimanjaro mapema leo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,RC Anna Mghwira akisalimiana na viongozi mbalimbali wa kamati ya Siasa ya Mkoa,mapema leo
RC
Mghwira akisalimiana na baadhi ya Wafanyakazi mara baada ya kuwasili
nje ya ofisi yake,tayari kwa kuanza kazi kama Mkuu wa Mkoa mpya mkoani
Kilimanjaro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...