Omar, Mtoto wa Marehemu Abdulcisco Mtiro akiweka mchanga  kwenye kaburi la Baba yake
 Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaj Ally Hassan Mwinyi, akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
  Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
 Wazirio Mkuu Mstaafu Salim Ahmed Salim akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
 Jaji Mkuu Mstaafu  Mhe. Othman Chande,akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
 CDF Mstaafu  Jenerali Davis Mwamunyange akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda, akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
 Balozi Ben Mashiba akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdulcisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam
Balozi ,Abdulhaman Shimbo, akiweka mchanga kwenye kaburi la Marehemu Balozi Abdul Cisco Mtiro katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...