Sheikh Shariff Majini kutoka Dar es salaam leo Jumapili amemaliza ziara yake Jiji Arusha kwa kufanya mkutano mkubwa katika stendi ya Hiace jirani na Soko la Kilombero.
Ikumbukwe Sheikh alianza ziara Arusha siku ya Jumapili tarehe 28 May ambapo aliendesha Dua katika ukumbi wa C.C.M Mkoa.
Aliendeleabnq mkutano wa nje siku ya Jumamosi tarehe 03 Juni na amemaliza mikutano yake Jumapili tarehe 04 Juni kati viwanja vya stendi yaa Hiace jirani na soko lq Kilombero Jijini Arusha.
Jumatatu tarehe 05-06-2017 Sheikh ataanza ziara Mkoa wa Tanga ambapo Junamosi tarehe 10 Juni na Jumapili Juni atafanya mkutano mkubwa pamoja na mambo mengine atafanya Dua kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa saba mchana ili kuwahi kuandaa futru kwa akina mama.
Sehemu ya umati wa wakazi wa Arusha waliojitokeza kwenye mkutano wa Sheikh Shariff Majini.
Sehemu ya umati wa wakazi wa Arusha waliojitokeza kwenye mkutano wa Sheikh Shariff Majini.
Sheikh akiongoza dua pamoja na kuombea watoto waliofika mkutanoni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...