Sheikh Shariff Majini ambaye yupo ziarani Jijini Arusha leo Jumamosi tarehe 03 Juni 2017 amefanya mkutano mkubwa katika Stand ya Hiace jirani na soko la Kilombero Jijini Arusha.
Mkutano wa Sheikh Shariff utaendelea kesho Jumapili tarehe 04 kuanzia saa mbili asubuhi hapo hapo katika viwanja vya Stendi ya Hiace Soko la Kilombero.
Baada ya Arusha Sheikh Shariff atafanya ziara Mkoani Tanga siku ya Jumamosi tarehe 10 na Jumapili tarehe 11 mwazi huu wa Juni.
Sehemu ya umati wa wakaazi wa Arusha waliojitokeza kwenye mkutano wa Sheikh Shariff Majini katika Stand ya Hiace jirani na soko la Kilombero Jijini Arusha.
Sheikh Shariff Majini akimuombea Mzee mwenye maradhi ya miguu..
Sheikh Shariff Majini akimuombea mtoto mwenye matatizo
Sehemu ya umati wa wakaazi wa Arusha waliojitokeza kwenye mkutano wa Sheikh Shariff Majini katika Stand ya Hiace jirani na soko la Kilombero Jijini Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...