SIMU.TV: Tanzania leo imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya kutotumia Tumbaku  huku serikali ikijipanga kudhibiti matumizi ya Tumbaku; https://youtu.be/e3IN5M8LMZM

SIMU.TV: Wananchi wilayani Musoma wameilalamikia mamlaka ya maji safi wilayani humo kwa kushindwa kukamilisha miradi kadhaa ya maji; https://youtu.be/TKAQy537ZdI

SIMU.TV: Madiwani wanawake jijini Dar Es salaam wamelalamikia tabia ya kutengwa na kutoshirikishwa katika baadhi ya maamuzi kwa kile walichokiita mfumo dume; https://youtu.be/8M6RtCBejg0

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi Joseph Mkirikiti, ametembelea hospitali ya wilaya hiyo na kubaini mrundikano mkubwa wa wagonjwa; https://youtu.be/enEUEbeX6BA

SIMU.TV: Jumla ya shilingi Bilioni 4.4 zimetengwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo wananchi wa mikoa ya Iringa na Dodoma katika sekta ya afya; https://youtu.be/Ag7abnMjfVk  

SIMU.TV: Waigizaji wa filamu kutoka nchini China wamesema kuwa watatangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini Tanzania kwa kutumia filamu zao; https://youtu.be/nivQ1hi7b4A

SIMU.TV: Droo ya kwanza ya shilingi milioni 20 imepata mshindi baada ya Huruma Mkongwa kutoka Arusha kuibuka mshindi kwa kujinyakulia shilingi milioni 20; https://youtu.be/VWNnPweNayQ 

SIMU.TV: Kampuni ya simu ya Vodacom imezindua huduma mpya inayojulikana kama Ukarimu wa Vodacom katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani; https://youtu.be/0cc_7l2mEmM  

SIMU.TV: Mtendaji mkuu wa klabu ya soka ya Azam Fc Saad Kawemba amekanusha taarifa zinazogaa kwenye mitandao kuwa amefukuzwa kazi katika timu hiyo; https://youtu.be/3fbY4GyGBxw

SIMU.TV: Klabu ya soka ya Azam imesema kuwa wachezaji wake wanatarajia kurejea kambini hivi karibuni kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao; https://youtu.be/heIXhC70e6U

SIMU.TV: Mkoa wa Mtwara umeanza maandalizi ya kusaka wachezaji bora ambao watakwenda kuuwakilisha mkoa kwenye mashindano ya Umiseta; https://youtu.be/cY5iruvbH20

SIMU.TV: Mashindano ya Umiseta kwa mkoa wa Dar Es salaam yameendelea hii leo kwa kuzikutanisha shule za wilaya ya Ubungo na Ilala katika dimba la Uhuru; https://youtu.be/vxuhYnQnDhU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...