SIMU.TV: Makamu wa rais Samia Suluhu amewataka watanzania kutowasikiliza baadhi ya wanasiasa wanaowataka kususia au kupinga miradi ya maendeleo; https://youtu.be/57_-FEoGU_g

SIMU.TV: Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli ameishukuru serikali ya Kuwait kwa kutoa mkopo wa dolla za Marekani milioni 51 zitakazosaidia ujenzi wa barabara; https://youtu.be/3yteEUAkNDE

SIMU.TV: Serikali ya Tanzania imeendelea na jitihada zake za kuboresha huduma za usafiri baada ya leo kuzindua kivuko kipya katika eneo la Kigamboni jijini Dar Es salaam; https://youtu.be/BzGTMe6MnpM

SIMU.TV: Mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji Chalinze ameshindwa kukamilisha kwa wakati mradi huo na kulazimika kuongezewa muda mpaka mwezi Oktoba; https://youtu.be/jLmT9Ju-olg

SIMU.TV: Wakulima wanaojihusisha na shughuli za kilimo, ufugaji na uvuvi wanatarajia kunufaika na mikopo kutoka katika benki ya TADB; https://youtu.be/9XLQtfKn6uQ

SIMU.TV: Serikali ya Tanzania imeleza dhamira yake ya kufikia nchi ya viwanda kwa kuendelea kuwekeza kwenye kilimo cha biashara; https://youtu.be/iNWGeCeY6ao

SIMU.TV: Serikali ya Tanzania imetakiwa kuangalia njia bora za kutunza mazingira ikiwemo kuendelea kutoa elimu kwa watanzania juu ya utunzaji wa mazingira; https://youtu.be/rcezpMr5NLQ  

SIMU.TV: Golikipa wa Yanga Deogratius Munishi ameibuka shujaa baada ya kupangua mkwaju wa penati na kuisadia timu yake kuingia nusu fainali ya kombe la SportPesa; https://youtu.be/BNrGFPyYjNg

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa Khalfan Haule amezindua mashindano ya ligi daraja la nne ngazi ya wilaya hiyo; https://youtu.be/kstldNKYFVk

SIMU.TV: Wasimamizi wa umoja wa michezo shule za msingi Umitashumta wametakiwa kusimamia sheria za mashindano hayo ili kuwapata washindi wa haki; https://youtu.be/1KmNF5uWVPM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...