Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akisisitiza jambo katika kikao cha
Kamati ya Uongozi kilichokutana jana usiku katika Ofisi za Bunge Mjini
Dodoma, kulia ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Kazi,
Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Jenista Mhagama
Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi
kilichokutana jana usiku katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma, kulia ni
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Kazi, Vijana,Ajira na
Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Jenista Mhagama.
Wajumbe
wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakiwa tayari kwa ajili ya kuanza kwa
kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika jana usiku katika Ofisi za Bunge
Mjini Dodoma.
Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi
kilichokutana jana usiku katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma, kulia ni
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Kazi, Vijana,Ajira na
Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Jenista Mhagama.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...