Familia ya Kabisama  inasikitika kuwaarifu kifo cha marehemu mpendwa  wao Professor  Henslay William Kabisama kilichotokea huko Ontario, Southern  California,  Marekani, tarehe 26 June, 2017
Taratibu za kusafirisha mwili zinafanywa  na tutawaarifu  Karibuni. Kwa ndugu, wafanyakazi wenzake na wanafunzi wake wanaweza kuwasiliana zaidi kwa namba  hizi:
John Matola +255 713 263 321Eddah Mwakale+255 713 274 850Dorcas Membe +255 787915151,
Hellen Nkoma+255 784 604 256

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...