CHAMA CHA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA TANZANIA (TUMA) TANZANIA URBAN MUSIC ASSOCIATION Inakuletea Kongamano la Wasanii katika Jiji la Mbeya Watoa mada ni TUMA, BASATA, COSOTA, TRA, PCCB & NHIF.. Kuhusu : Usajili, Haki miliki, Ulipaji kodi, Maadili, Rushwa na Bima. JUMAMOSI hii, Tarehe 10/06/2017 Mahali: TUMANYENE SOCIAL HALL- Nzovwe Kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane na nusu mchana. HAKUNA KIINGILIO….wote mnakaribishwa #msaniijisajiliTUMA @bratonmtz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...