CHAMA CHA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA TANZANIA (TUMA)
TANZANIA URBAN MUSIC ASSOCIATION
Inakuletea
Kongamano la Wasanii katika Jiji la Mbeya
Watoa mada ni TUMA, BASATA, COSOTA, TRA, PCCB & NHIF..
Kuhusu : Usajili, Haki miliki, Ulipaji kodi, Maadili, Rushwa na Bima.
JUMAMOSI hii, Tarehe 10/06/2017
Mahali: TUMANYENE SOCIAL HALL- Nzovwe
Kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane na nusu mchana.
HAKUNA KIINGILIO….wote mnakaribishwa
#msaniijisajiliTUMA
@bratonmtz
Home
Unlabelled
TUMA YAANDAA Kongamano la Wasanii katika Jijini Mbeya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...