Mkaguzi wa Polisi katika Kituo cha cha Mabasi Ubungo, Inspekta Ibrahim Samwix akikagua moja ya basi katika kituo hicho kikuu cha mabasi ya mikoani na nje ya nchi leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni utaratibu wa ukaguzi kabla ya mabasi hayo hajaanza safari.
Mkaguzi wa Polisi katika Kituo cha cha Mabasi Ubungo, Inspekta Ibrahim Samwix katika uvungu wa basi akikagua basi katika kikuu cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani.
Askari wa Kikosi cha usalama barabarani kituo cha Ubungo, Nuru Mvungi akikagua mikanda katika basi la Kampuni ya Mlola inayofanya safari zake Dar es Salaam na Tanga leo jijini Dar es Salaam.
Askari wa Kikosi cha usalama barabarani kituo cha Ubungo, akionesha basi la Cheeter linalofanya safari zake Dar es Salaam na Dodoma likiwa limetolewa namba za usajili kutoka na ubovu na basi hilo linatakiwa kufanya safari baada kufanyiwa marekebisho leo jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya mabasi yakiwa katika kituo kikuu cha Ubungo leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Usalama kwanza....big up sana Inspector Samwix kwa kuongoza kwa vitendo. Kwa nini zoezi la hivi lisifanyike nchi nzima ili kupunguza kabisa wimbi la ajari?!!...tafakari

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...