Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Hamis Kigwangalla pamoja na Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Taifa Joheli Festo wakiangalia ripoti iliyozinduliwa leo na shirika Save the Children kuhusu hali ya ndoa za ututoni duniani wakati wa Kongamano la Siku ya Mtoto wa Afrika liliofanyika leo katika mji wa Dodoma.
1.Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Hamis Kigwangalla akihutubia wajumbe wa Kongamano la Siku ya Mtoto wa Afrika liliofanyika leo katika mji wa Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akihutubia wajumbe wa Kongamano la Siku ya Mtoto wa Afrika liliofanyika leo katika mji wa Dodoma.
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Hamis Kigwangalla akipata Maelekezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi masuala ya Watoto wa Wizara yake kuhusu kazi za Wiazara wakati wa Kongamano la Siku ya Mtoto wa Afrika liliofanyika leo katika mji wa Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...