Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson
akitoa mkono wa pole kwa mama Mjane wa Marehemu Dkt Philemoni Ndesamburo
,Ndehorio Ndesamburo alipotembelea nyumbani kwa marehemu kuifariji
familia.
Mwenyekiti
wa Chadema Taifa na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni
,Freeman Mbowe akitoa mkono wa Pole kwa mjane wa marehemu Dkt Ndesamburo
,Ndehorio Ndesamburo nyumbani kwake KDC mjini Moshi.
Waziri
wa Malisili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akitoa pole kwa mama mjane
wa marehemu Ndesamburo nyumbani kwake KDC mjini Moshi.
Mbunge
wa jimbo la Same Magharibi ,David Mathayo David akitia saini katika
kitabu cha waombolezaji nyumbani kwa marehemu Dkt Philemoni Ndesamburo.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro,Idd Juma akitia saini katika
kitabu cha waombolezaji nyumbani kwa marehemu Ndesamburo KDC Mjini
Moshi.
Mkuu
wa mkoa wa Arusha ,Mrisho Gambo akisalimiana na Mbunge wa jimbo la
Rombo Joseph Selasini walipokutana nyumbani kwa marehemu Ndesamburo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...