Jana,
Juni 1, 2017, Wakurugenzi wa Mfuko wa Maendeleo ya Soka Tanzania
(TFDF), Derek Murusuri na Taasisi ya Media Tanzania (TMF) Ernest
Sungura, walimtembelea Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dk Tulia Ackson, ofisini kwake mjini Dodoma. Pichani, Bw
Sungura akiongea na Mh Naibu Spika, Dk Tulia Ackson.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...