Wananchi wa Jiji la Mwanza wakiwa wamefanya foleni nje ya Jengo la Ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania Kanda ya Mwanza, kusubiri muda wao wa kwenda kulipia Kodi ya Ardhi ambayo leo Juni 30 ndio mwisho wa kulipia kwa wale ambao bado. hii ni kufuatia agizo la Serikali la kuhakikisha kila mmiliki wa nyumba analipia kodi hiyo na kwa wakati

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Serikali mtandao ihakikishe kwamba bugdha hii haitokei tena. Watu walipe kupitia mitandao yao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...