Wananchi wa Jiji la Mwanza wakiwa wamefanya foleni nje ya Jengo la Ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania Kanda ya Mwanza, kusubiri muda wao wa kwenda kulipia Kodi ya Ardhi ambayo leo Juni 30 ndio mwisho wa kulipia kwa wale ambao bado. hii ni kufuatia agizo la Serikali la kuhakikisha kila mmiliki wa nyumba analipia kodi hiyo na kwa wakati
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Serikali mtandao ihakikishe kwamba bugdha hii haitokei tena. Watu walipe kupitia mitandao yao.
ReplyDelete