Mwanasayansi Samweli Mduma akipima kiasi cha damu ambacho ni mililita 450 iliyotolewa leo na Frank Mapunda katika kituo cha kuchangia damu cha Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ikiwa ni maadhimisho ya siku ya kuchangia damu Dunia ambayo kaulimbiu yake ni Changia damu, Changia sasa, Changia mara kwa mara.
Afisa Mtoa Damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama Peter Chami akiangalia wingi wa damu ya Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo Pedro Pallangyo ambayo aliitoa katika kituo cha kuchangia damu cha Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ikiwa ni maadhimisho ya siku ya kuchangia damu Dunia ambayo kaulimbiu yake ni Changia damu, Changia sasa, Changia mara kwa mara.
Mwanasayansi Samweli Mduma akitafuta mshipa wa damu kwa ajili ya kumtoa damu George Marcus katika kituo cha kuchangia damu cha Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ikiwa ni maadhimisho ya siku ya kuchangia damu Dunia ambayo kaulimbiu yake ni Changia damu, Changia sasa, Changia mara kwa mara.
Mtoa huduma Jema Mwampashi akipima wingi wa damu ya mmoja wa wachangia damu aliyefika katika kituo cha kuchangia damu cha Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) leo kwa ajili ya kuchangia damu ikiwa ni maadhimisho ya siku ya kuchangia damu Dunia ambayo kaulimbiu yake ni Changia damu, Changia sasa, Changia mara kwa mara. Picha na JKCI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...