Balozi
na Mwakilishi wa Uswisi Afrika Mashariki, Arthur Mattli, akimkabidhi
cheti cha ushiriki wa “Warsha ya Uchoraji Karikacha & Vibonzo,”
Saidi Michael maarufu kama “Wakudata” hivi karibuni baada ya kushiriki
mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoendeshwa na asasi ya Nathan Mpangala
Foundation (NMF) na kufadhiliwa na Ubalozi wa Uswisi nchini. Katikati ni
Mwenyekiti wa NMF, Nathan Mpangala.
Mchora vibonzo Musa Ngarango aka “Masikio Mchongoko”, akilamba ganda lake.
Mchora vibonzo chipukizi, Brenda Kibakaya alidhihirisha kuwa uchoraji vibonzo si kwa wanaume tu.
Magret
Liwembe akimkabidhi zawadi mgeni rasmi (karikacha cha mke wa balozi
iliyonakshiwa kwa saini za washiriki) kwa niaba ya washiriki wenzake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...