Wanafunzi watatu wa shule ya sekondari ya FEZA BOYS Dar es Salaam wamenyakua medali za dhahabu huko Marekani katika mashindano ya uwezo wa kitaaluma ya GENIUS OLYMPIAD yaliyoshirikisha nchi 63 Duniani. Walionyakua medali hizo ni wanafunzi Abdulrazak Juma Mkamia,Rashid Jakaya Kikwete na Abdallah Rubeya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...