Wziri Mkuu Kassim Majaliwa . akiweka Shada la Maua katika kaburi alipo Zikwa Kwamara ya Pili Marehemu Yustino Ndugai Baba Mzazi wa Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Job Ndugai. Shughuli hiyo imefanyika June 17 , 2017 katika makaburi ya familia ya Ndugai Kijij cha Chimoloto Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma.
Waiziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa Salamu za Serekali kwa Wananchi , Katika Tukio la Mazishi ya Mara ya Pili ya Marehemu Yustino Ndugai Baba Mzazi wa Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai . Marehemu Yustino alifariki Mwaka 1992 na amezikwa mara ya Pili June 17 , 2017 katika makaburi ya familia ya Ndugai Kijij cha Chimoloto Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Abdalah Bulembo (Mbunge) akitoa salamu kwa niaba ya Wabunge wa CCM , Katika Tukio la Mazishi ya mara ya Pili ya Marehemu Yustino Ndugai Baba Mzazi wa Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai . Marehemu Yustino alifariki Mwaka 1992 na amezikwa mara ya Pili June 17 , 2017 katika makaburi ya familia ya Ndugai Kijij cha Chimoloto Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma.PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...