Mwenyekiti wa bodi ya Bodi ya Utalii Tanzania ,Jaji Thomas Mihayo  akizungumza na wadau wa mikutano wakati wa ufunguzi Semina Maalum ya wadau hao kuhusu utalii wa mikutano hapa nchini ambao utaweza  kusaidia mapato ya sekta ya utalii na Taifa kwa ujumla.
 Mwenyekiti wa Bodi ya AICC, Balozi Dkt  Ladislaus Komba  akizungumza katika Semina ya wadau wa mikutano juu ya utalii wa mikutano ambao utaweza kukuza utalii nchini  na mapato ya mwekezaji mmoja mmoja kupitia mikutano hiyo
 Washiriki wa mkutano huo kutoka bodi ya utali nchini TTB wakifatilia kwa ukaribu yanayozunmzwa katika mkutano huo
 Mkurugenzi wa Mikutano kutoka AICC,Mkunde Senyangwa akizungumza na wadau walioshiriki Semina hiyo juu ya umuhimu wa utalii wa mikutano nchini
 Sehemu ya wadau walioshiriki mkutano huo wakisilikiliza mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa
 Mkufunzi kutoka kampuni ya Business Tourism  ya Afrika Kusini ,Rick Taylor akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya nchi nyingi zilivyofanikiwa kupitia Utaliihuo wa Mikutano
Wajumbe wa mkutano huo wakizungumza jambo na  Mwenyekiti wa bodi ya Bodi ya Utalii Tanzania ,Jaji Thomas Mihayo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...