Gari lenye namba za usajilii namba T 129CYY imetumbukia mtaroni eneo la Bahama Mama-Kimara Baruti jijini Dar es Salaam mapema leo.Kulingana na mashuhuda wa jali hiyo wanaeleza kuwa ajali hiyo ilisababishwa na Mwendo kasi wa gari hiyo, ambapo dereva alikuwa akimkwepa mwendesha bodaboda na kujikuta akitumbukia kwenye mtaro kama ambavyo tukio hilo lilivyonaswa na Camera ya Globu ya Jamii.
Baadhi y mashuhuda wakishuhudia tukio la ajali hiyo,ambapo hakuna aliyepoteza maisha zaidi ya kuwa na majeraha madogo na hatimaye kukimbizwa hospitali kwa huduma ya kwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...