Mbunge wa Jimbo la Nkenge Balozi Dkt. Diodorus Buberwa Kamala amewataka wakandarasi wanaopewa kutekeleza miradi ya maendeleo wilaya ya Missenyi kukamilsha miradi kikamilifu vizuri na kwa wakati. Balozi Kamala anaonekana akikagua ukarabati wa zahanati ya kata Kakunyu. Balozi Kamala amekataa kupokea mradi wa ukarabati wa zahanati hiyo baada ya kuambiwa umekamilika wiki mbili zilizopita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...