Balozi na Mwakilishi Mkazi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Mhe. Modest Mero akimpongeza Kanali George Itang'ire kwa kupandishwa cheo na Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli kutoka ngazi ya Luteni Kanali na kuwa Kanali wa JWTZ katika ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini New York leo.
Home
Unlabelled
Balozi Modest Mero ampongeza Kanali George Itang'ire kwa kupandishwa cheo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...