Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania wakiwa kwenye banda lao katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam tayari kutoa huduma na maelezo ya shughuli zao. Banda lao limo ndani ya jengo la Wizara ya Fedha na Mipango. Kumbuka maonesho hayo yanamalizika rasmi siku ya Alhamisi Julai 13, 2013 hivyo wanakukaribisha uwatembelee.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...