Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania wakiwa kwenye banda lao katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam tayari kutoa huduma na maelezo ya shughuli zao. Banda lao limo ndani ya jengo la Wizara ya Fedha na Mipango. Kumbuka maonesho hayo yanamalizika rasmi siku ya Alhamisi Julai 13, 2013 hivyo wanakukaribisha uwatembelee.
Home
Unlabelled
Banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bima
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...