Ofisa Masoko wa Benki ya CRDB, Estherine Mtimba (kulia), akimsaidia kufungua akaunti pamoja na kumuunganisha na huduma ya SimBanking mteja mpya wa benki hiyo, Rehema Adam.
Ofisa
Mauzo wa Benki ya CRDB, Benjamin Banzi (wa pili kulia), akimuunganisha
mteja, Christopher Mjata kwenye huduma ya SimBanking (huduma za benki ya
CRDB kwa njia ya simu za mkononi) katika eneo la Kimara jijini Dar
es Salaam.
Mteja wa Benki ya CRDB, Khalid Hassan (kulia), akifungua akaunti katika gari la mauzo la benki hiyo katika eneo la Mbezi jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa
wa Benki ya CRDB, Eric Maro.
Baadhi ya wateja wa Benki ya CRDB wakitoka kufungua akaunti pamoja na kujiunga na huduma ya SimBanking katika gari la mauzo la benki hiyo katika eneo la Kimara jijini Dar es Salaam.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...